Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Viwanda na Biashara
Mwisho: 31st Oct 2018
Request for expression of interest to Review and Develop a Draft National Policy
Mwisho: 31st Oct 2018
Request for expression of interest to Review and Develop National Policy and Leg...
Imewekwa: 01st February, 2018
Naibu Katibu Mkuu Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweshaija afungua mafunzo ya siku mbili ya Matumizi sahihi ya TEHAMA. Watumishi wa Idara ya Masoko, Idara ya Viwanda vidogo na Biashara ndogo pamoja na Idara ya Sera na Mipango wahudhuria mafunzo ya siku mbili ya Matumizi sahihi ya TEHAMA, Mafunzo hayo yanafanyika katika ukumbi wa Wizara ya Maliasiri na Utalii - UDOM. Mafunzo hayo yanahusu matumizi sahihi ya TEHAMA katika Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Naibu Katibu Mkuu amehimiza watumishi wa Wizara kuzingatia kanuni na sheria zilizowekwa katika matumizi sahihi ya mtandao ambapo watumishi wa umma wanapaswa kutumia mtandao wa Serikali katika kutekeleza majukumu ya kazi kwa manufaa ya Serikali na si vinginevyo.