Tanzania ni eneo la kimkakati kijiografia na lenye rasilimali nyingi zenye kuvutia uwekezaji katika sekta mbalimbali za uchumi zikiwemo viwanda, madini, utalii, kilimo na biashara. Uwekezaji huo ambao hufanywa kwa kiwango kikubwa na Sekta Binafsi umechochewa na uwepo wa mazingira rafiki ya uwekezaji na mfumo wa kitaasisi na kisheria wa kusimamia uwekezaji nchini. Mifumo hiyo, pamoja na mambo mengine, inatoa...
Kuandaa na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria, Mikakati na Miongozo ya uwekezaji nchini
Kuhamasisha na kutoa ushauri kuhusu uwekezaji katika sekta zote
Kutoa taarifa kuhusu fursa za uwekezaji nchini kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi
Kuwezesha uwekezaji kutoka nje katika sekta zote za uchumi
Kusimamia utendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania
Sehemu ya Uendelezaji wa Uwekezaji inatekeleza majukumu yafutayo:-
Sehemu ya Ufuatiliaji inatekeleza Majukumu yafuatayo:-